Tanzania emblem

Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Afrika

Urithi wa Ukombozi, Fahari ya Afrika

Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Afrika

Majukumu

  • Kutambua, kuhifadhi, kulinda, kuendeleza, kurithisha, kutangaza maeneo ya Ukombozi wa Afrika pamoja na kukusanya nyaraka zilizopo nchini;
  • Kuratibu na kusimamia uanzishwaji wa Kituo cha Urithi wa Ukombozi wa Afrika Dar es Salaam-Tanzania;
  • Kuratibu tafiti, kuchapisha na kutangaza taarifa za utafiti kuhusu Urithi wa Ukombozi wa Afrika kwa kushirikiana na wadau na wanataaluma;
  • Kuandaa sheria, kanuni na miongozo ya kulinda, kuhifadhi na kuendeleza Urithi wa Ukombozi wa Afrika;