Tanzania emblem

Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Afrika

Urithi wa Ukombozi, Fahari ya Afrika

Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Afrika

Habari

Ziara za viongozi


Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji akipata maelezo kuhusu maonesho yaliyopo katika makumbusho ya Kituo cha Urithi wa ukombozi bara la Afrika kutoka kwa Afisa wa Kituo Bi. May Simba, alipotembelea kituo hiki mapema Disemba 8, 2025.